Friday, August 30, 2019
Jina la Yesu ni ngome Imara
Wewe ni muweza Mungu wetu, hakuna kama wewe, ni nani wa kufananishwa na wewe?
Tuesday, August 27, 2019
Monday, August 26, 2019
Sunday, August 25, 2019
Friday, August 23, 2019
BARA LILILOBARIKIWA
Tuesday, August 20, 2019
ISRAELI NA ASEME SASA.
ZABURI 118
1 Haleluya. Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni mwema, Kwa maana fadhili zake ni za milele.
2 Israeli na aseme sasa, Ya kwamba fadhili zake ni za milele.
3 Mlango wa Haruni na waseme sasa, Ya kwamba fadhili zake ni za milele.
4 Wamchao Bwana na waseme sasa, Ya kwamba fadhili zake ni za milele.
5 Katika shida yangu nalimwita Bwana; Bwana akanijibu akaniweka panapo nafasi.
6 Bwana yuko upande wangu, sitaogopa; Mwanadamu atanitenda nini?
7 Bwana yuko upande wangu, msaidizi wangu, Kwa hiyo nitawaona wanaonichukia wameshindwa.
8 Ni heri kumkimbilia Bwana Kuliko kuwatumainia wanadamu.
9 Ni heri kumkimbilia Bwana. Kuliko kuwatumainia wakuu.
1 Haleluya. Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni mwema, Kwa maana fadhili zake ni za milele.
2 Israeli na aseme sasa, Ya kwamba fadhili zake ni za milele.
3 Mlango wa Haruni na waseme sasa, Ya kwamba fadhili zake ni za milele.
4 Wamchao Bwana na waseme sasa, Ya kwamba fadhili zake ni za milele.
5 Katika shida yangu nalimwita Bwana; Bwana akanijibu akaniweka panapo nafasi.
6 Bwana yuko upande wangu, sitaogopa; Mwanadamu atanitenda nini?
7 Bwana yuko upande wangu, msaidizi wangu, Kwa hiyo nitawaona wanaonichukia wameshindwa.
8 Ni heri kumkimbilia Bwana Kuliko kuwatumainia wanadamu.
9 Ni heri kumkimbilia Bwana. Kuliko kuwatumainia wakuu.
Sunday, August 18, 2019
Subscribe to:
Posts (Atom)
-
Kulingana na KAMUSI huru, ya WIKIPEDIA Yesu Kristo anajulikana kama ifuatavyo.. inajulikana kama Yesu wa Nazareti na Yesu Kristo, alik...
-
Jibu: Huku wakati wizara fulani za Roho Mtakatifu zinaweza kuhusisha hisia, kama vile hatia ya dhambi , faraja, na uwezeshaji, maandiko hay...
-
Wewe ni muweza Mungu wetu, hakuna kama wewe, ni nani wa kufananishwa na wewe?